Wednesday, October 26, 2016

Farid Musa bado anaendelea kuonekana nyumbani wakati tuliambiwa dili lake lilishakamilika kwenda kucheza soka la kulipwa kwenye klabu ya Tenerife nchini Hispania, lakini kitendo cha Faird kuendelea kuonekana Bongo kinaendelea kuzua maswali mengi kwa wadau wa soka nchini hali iliyopelekea nahodha wa timu taifa ya Tanzania Mbwana Samatta kuhoji kitu gani kinachokwamisha mchakato huo.

No comments:

Post a Comment