PICHA


Mashindano ya upishi

Mashindano ya upishi

Mwakilishi wa Tanzania na Afrika katika mashindano ya upishi, Fred Uisso akiwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam juzi kuanza safari kwenda Marekani kushiriki mashindano hayo kwa udhamini wa kampuni ya Redgold. (Picha na Mroki Mroki).






IMG_0008.JPG

wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari DSJ  wakiwa katika picha ya pamoja  wakiwa katika maanadalizi ya kuelekea kituo cha watoto  (msimbazi center) kwa ajili ya kutoa misaada mbalimbali  kwa lengo la kuwafariji  watoto hao

No comments:

Post a Comment